Posts

IPI DINI YA KWELI

Tukiwa mitaani waislamu na wakristo tunakula pamoja, tunacheza pamoja, tunahudhuria sherehe pamoja na tunashirikiana kwa kila hali na mali lakini ikija swala la dini hapo ndio tofauti na vita huibuka licha ya kuabundu Mungu mmoja. Tunaitana majina kama wanyama, makafiri, mapagani, mbwa... Hivi ipi dini ya kweli? Kauli ya kuwa Mungu yupo mahali popote mbona tunaibeza? Zama za mababu zetu watu walikuwa wakiomba chini ya miti, milimani na hata baharini na chakushangaza ni kuwa maombi yao yalijibiwa haraka. Siku hizi watu wanalazimishwa kuabudu makanisani na misikitini lakini bado shida zinaongezeka. Kwenye Biblia takatifu hatumuoni Baba wa imani, Ibrahim pamoja na mtumishi Ayubu wakienda kanisani lakini Mungu alikuwa akisikia maombi yao. Watu waliobarikiwa kwelikweli. Chamsingi ukifuata sheria za Mungu utaishi si hapa duniani tu bali pia ahera. Kruani tukufu inachochea upendo sawia na Bibilia takatifu sasa uhasama unatokea wapi? Hivi Mungu anakubali kweli tofauti iliyoko kati ya wakristo ...

MAISHA NI FUMBO, FUMBUA

Ili ndege waruke pamoja sharti wafanane hivyo  ukiwa na rafiki tegemea mambo mawili: kukuangusha ama kukujenga.Ili ufanikiwa katika maisha unahitajika kudondosha marafiki wapuzi na washenzi kwani wanaweza kuwa vikwazo na mizingo mizito aushini mwako. Marafiki wa kila mara nipigie, nitumie na zakutoa, nimeona kiatu kizuri si uninunulie, nahisi njaa, nataka viazi, mimi siwezi labda wewe......... ni marafiki ambao hawakuthamini na hakuna hasara ukiwadondosha. Achilia marafiki wa namna hii na uacha kauli ya tumetoka mbali kwani hawa si marafiki wa dhati bali ni wachati. Epukana na marafiki wanaopenda kusifiwa maishani. Akipanda garimoshi mazungumzo yake yote yatakuwa kuhusu garimoshi. Rafiki ambaye hupiga picha kwenye magari ya watu ili asifiwe, anayepiga picha chakula kizuri kana kwamba yeye ndo anakula, anayepiga picha kwenye mikahawa mizuri ili kututishia, nywele nzuri kumbe bandia......Watu hawa hupenda wasifiwe ilhali hali halisia analala chini ya kitanda.Rafiki kama hawa dondosha...

KENYA VIONGOZI WANAISHI LAKINI WANANCHI WANAISHA!

Hivi akili ni nini? Je madhara ya akili ni yapi? Kutenda pasipo kuelewa ni matumizi mabaya ya akili.Matumizi mazuri ya akili ni kuwa tayari kufa kwa ajili ya watu wako kinyume na viongozi washenzi na watundu ambao huhongwa chips kuku na kuweka condom zahanatini badala ya kuweka dawa ili kutibu magonjwa. Hivi condom hutibu ugonjwa gani? Hivi maisha yanasonga ama ni sisi ndio tunasonga. Inakera na kuskitikisha kuona viongozi tuliowachagua wanazembeazembea na kuhadaa wananchi, wanaongeza maafa zaidi badala ya kupunguza. Wakishikwa na homa kidogo kama mafua wanaruka na ndege kutibiwa huko London, China, Ujerumani.......huku wananchi wakisugua magonjwa sugu wengine wakipoteza maisha yao kwa kukosa kidonge cha shilingi thelathini. Hivi tunamuogopa Mungu kweli? Ni dhahiri shahiri kuwa Kenya tulibarikiwa kila kitu lakini tukalaaniwa viongizi. Ni kinaya kuwa tunateseka na baa la njaa mahali kuna ardhi yenye rotuba na maji, tunaishi bila mishahara mahali tunafanya kazi na tunalalamika ukosefu ...

HONESTY

A politician who fails on to deliver on the promises he/she made to the people during election campaign, loses the peoples faith and stands to lose the election the next time round.  It is difficult to trust someone you have lost faith in. Without  honesty  we would be termed characterless. Honesty is one of the building blocks of good character and character is what establishes who we are and what we are going to achieve. Honesty is the cornerstone of character.  Honesty is not always the easiest way out of a situation. However for the brave hearted who do not seek ways  out of situations it is the only way to deal with a situation or a crisis.  Often being honest can mean coming under the wrath of others. There might be the fear of a backlash but one must keep in mind that in the end truth always prevails and honesty is the best policy. It might not be the easiest thing: being honest, but it is the only thing to be. Sometimes when faced with dire conseque...

POVERTY

Poverty   is the state of having few material possessions or little  income . Poverty can have diverse  social, economic  and  political  causes and effects. When evaluating poverty in statistics or economics there are two main measures:   Absoluty poverty  measures compare income against the amount needed to meet basic personal needs , such as  food, clothing  and  shelter Relative poverty  measures when a person cannot meet a minimum level of  living standards  compared to others in the same time and place. Thus   relative poverty   is defined varies from one country to another, or from one  society  to another. Statistically, as of 2019, most people on the planet live in poverty. According to the World Bank Group in 2020, more than 40 percent of the poor live in conflict-affected countries. Even when countries experience economic development, t he poorest citizens of middle-income countries freq...

TOXIC RELATIONSHIP IN COMPUS

Toxic means very harmful or unpleasant in a persive or insidious way. Relatioship means the way in which two or more people or things are connected. Therefore toxic relationship is the campanionship between people who dont support each other, where there is a conflict and one seeks to undermine the other. Ernest Hemingway once said, "the most painful thing is losing yourself in the process of loving some one too much and forgeting that you are special too. The signs are always there. Pouse to allow your mind, heart and body to work together to inform you in all of your interpersonal relationship because we believe a heart- healthy relationship doesn't need projection. Some signs of toxic relationship in campus is:- Toxic people normal everything is about themselves. They might pretend to care about your feelings and openions but will always end up putting themselves first. They are jealous or controlling. Does your partner constintly check your phone? This is a sign of not tra...
Life is simply defined as the period between birth and death of a livingthing especially human  The word 'life' can be viewed  on these four process of life including how  people behave differently in these processes. The 4 processes are as follows:- Stage 1.Mimicry process. Mimicry is the action or skills of imitating someone or something especially in order to entertain or ridicule. This stage, a person is wholly dependent on other people's action and approvals to be happy. Stage 2. Self-discovery Self-discovery is the act or prosess of achieving, understanding or knowledge of oneself. In this process, one become reliant on oneself, but they are still reliant on external success to be happy-making money and victory. These are more controllable than other people but they are still mostly unpredictable in the long run. Stage 3. Commitment process. Commitment is the stage or quality of being dedicated to a cause, activity etc. In this process, people rely on a handful of r...